BODI YA USHAURI NFRA YATEMBELEA UJENZI WA MAGHALA NA VIHENGE VYA KISASA MKOANI MANYARA
Mwenyekiti wa Bodi ya ushauri ya NFRA Mhandisi Eustance Kangole akiongoza kikao kazi cha 33 cha Bodi hiyo Jijini Dodoma
MHE HASUNGA AZITAKA NFRA NA BODI YA NAFAKA NA MAZAO MCHANGANYIKO KUWA NA MKAKATI WA KUNUNUA NAFAKA ZA WAKULIMA NCHINI
Uzinduzi wa Ujenzi wa Magala na Vihenge
Wakala huhifadhi nafaka kwenye maghala kwa kipindi kisichozidi miaka mitatu. Ili kuongeza usambazaji wa nafaka katika masoko, Wakala huingiza chakula katika masoko yaliyobainika kuwa na upungufu wa chakula. Aidha, Wakala huuza chakula kwa taasisi mbalimbali ili kukidhi mahitaji wa wakati. Uuzaji wa nafaka husaidia Wakala kupata nafasi ya ununuzi wa mazao mapya na kupata mapato ya kurudishia ghalani mazao mpya.